Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.





More Stories
Wajasiriamali 1,300 wanufaika na mradi wa INCLUCITIES
Mixx, ZANGOF kuziwezesha Asasi za kiraia Zanzibar
Polisi Mwanza yafanyia kazi malalamiko ya wananchi