Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.





More Stories
Osha yatajwa miongoni mwa Taasisi za Kimkakati nchini
Yas yawekeza Sh trilioni 1.2 kuimarisha teknolojia ya afya
Umoja wenye Malengo kukabili changamoto zinazoibuka SADC