Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.
More Stories
Mbunge ahoji utekelezwaji wa ahadi za viongozi majimboni
Pamba Fc yapongezwa kupanda ligi kuu bara
FCT toeni Maamuzi kwa Haki