April 20, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Wahariri (TEF) wamkaribisha Nape, wamshukuru Kijaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akimuapisha, Nape Moses Mnauye kuwa Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari leo, katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Picha na Ikulu