Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga.
More Stories
Halmashauri Nkasi yapongezwa kwa kupata hati safi
Kutofahamika kwa taasisi za uwezeshaji kiuchumi nchini chanzo Cha umasikini
Sh.1 bil ,kukarabati makazi ya wazee