Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga.
More Stories
Wasimamizi wa miradi ya maendeleo Rukwa wajengewa uwezo na Takukuru kuokoa Fedha za Umma
Watumishi wa Umma wakumbushwa matumizi ya “PEPMIS”
Washindi ‘kila muamala bao la ushindi’ waendelea kupeta