Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga.
More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi