Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga. Post Views: 483 Continue Reading Previous RC Ruvuma ashauri wafugaji watafutiwe maeneo ya kuchungia mifugo yaoNext Majina yasiyostahili kwa watoto yachangia ongozeko la vitendo ya ukatili More Stories 2 min read Habari Kamati ya Bunge yataka viongozi wa ushirika wasio waaminifu kuchukuliwa hatua April 24, 2024 Judith Ferdnand 3 min read Habari Wakulima kunufaishwa na TBL kupitia masoko ya kikanda April 24, 2024 Iddy Lugendo 2 min read Habari Tulia Trust yakabidhi msaada wa vyakula kwa waathirika wa Mafuriko Kyela April 24, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Kamati ya Bunge yataka viongozi wa ushirika wasio waaminifu kuchukuliwa hatuaÂ
Wakulima kunufaishwa na TBL kupitia masoko ya kikanda
Tulia Trust yakabidhi msaada wa vyakula kwa waathirika wa Mafuriko Kyela