Wachezaji wa Mpira wa Kikapu wa Benki ya NMB na wajumbe wa Baraza la wawakilishi wakiwania mpira wakati wa mchezo uliochezwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Mjumbe wa Baraza la wawakilishi, Ali Suleima Urembo akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya Baraza la wawakillishi baada ya kuibuka washindi dhidi ya timu ya Benki ya NMB wakati wa mchezo uliofanyika kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 58 ya mapinduzi ya Zanzibar. Kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha, Juma Kimori na kushoto ni Meneja wa NMB Zanzibar, Naima Post Views: 521 Continue Reading Previous Jenista aahidi kuimarisha utumishi wa umma kwa manufaa ya TaifaNext Tigo watoa zawadi ya milioni kumi kwa washindi promosheni ya lipa kwa simu uWini More Stories 2 min read Habari Kamati ya Bunge yataka viongozi wa ushirika wasio waaminifu kuchukuliwa hatua April 24, 2024 Judith Ferdnand 3 min read Habari Wakulima kunufaishwa na TBL kupitia masoko ya kikanda April 24, 2024 Iddy Lugendo 2 min read Habari Tulia Trust yakabidhi msaada wa vyakula kwa waathirika wa Mafuriko Kyela April 24, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Kamati ya Bunge yataka viongozi wa ushirika wasio waaminifu kuchukuliwa hatuaÂ
Wakulima kunufaishwa na TBL kupitia masoko ya kikanda
Tulia Trust yakabidhi msaada wa vyakula kwa waathirika wa Mafuriko Kyela