Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi uliowasilishwa na Mjumbe maalum ambae pia ni Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki, Vijana, Michezo na Utamaduni Balozi Ezechiel Nibigira, mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 14 Januari, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini Abdalla Ali M. Alsheryan, mara baada ya kuwasilisha Hati yake ya Utambulisho leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Kim Sun Pyo leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Indonesia hapa nchini Triyogo Jatmiko leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiagana na Balozi wa Indonesia hapa nchini Triyogo Jatmiko mara baada ya mazungumzo leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Morocco hapa nchini Zakaria El Goumiri leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Morocco hapa nchini Zakaria El Goumiri, mara baada ya kuwasilisha Hati ya Utambulisho leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Post Views: 872 Continue Reading Previous CWT yawataka walimu kupuuza taarifa za uongo zinazosambaa mitandaoaniNext Manispaa ya Moshi yaongeza ukusanyaji mapato kufikia Bil 8.5 More Stories 3 min read Habari Rais Dkt. Samia awahimiza Watanzania kudumisha amani April 25, 2024 reuben kagaruki 1 min read Habari Kitaifa Mhandisi Kundo awasili nchini Msumbiji kikazi April 25, 2024 joyce kasiki 1 min read Habari Serikali yatoa mwongozo Kwa walimu wakuu wa Shule juu ya mvua zinazoendelea kunyesha April 25, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Rais Dkt. Samia awahimiza Watanzania kudumisha amani
Mhandisi Kundo awasili nchini Msumbiji kikazi
Serikali yatoa mwongozo Kwa walimu wakuu wa Shule juu ya mvua zinazoendelea kunyesha