
Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Msumbiji ayefanyia kazi Zanzibar Mhe.Agostino Abacar Trinta (kushoto).Picha na Ikulu


Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akibadilishana mawazo na mgeni wake Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida baada ya mazungumzo wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo.

More Stories
Halmashauri Nkasi yapongezwa kwa kupata hati safi
Kutofahamika kwa taasisi za uwezeshaji kiuchumi nchini chanzo Cha umasikini
Sh.1 bil ,kukarabati makazi ya wazee