Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
Ujuzi wa vitendo nguzo ya kujitegemea
Mahundi ahimiza ushiriki kujenga,kulinda miradi
ACT Wazalendo yapinga zuio la mikutano ya hadhara