Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
Prof.Muhongo achangia saruji mifuko 280,kuwezesha ujenzi wa zahanati 3
Serikali itaendelea kushirikiana na shule binafsi-Dkt. Biteko
Rais Mwinyi aumwagia sifa uongozi wa Samia