Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
NIRC yatumia wiki ya utumishi kuelimisha
VETA yapongezwa kutoa mafunzo kwa wenye mahitaji maalum
Waomba kujengewa kituo cha polisi