Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Kamati yapongeza WRRB, yataka WRS itumike kwa parachichi
Diplomasia ya Uchumi Kuimarisha Nafasi Tanzania Kiuchumi
Tanga kujiandaa kupokea Gesi Asilia kwa matumizi