Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Kigoma yatoa tenda zaidi ya Milioni 500
Vyama vya Siasa vyatakiwa kuwa Mabalozi wa Bima
Serikali kuboresha hadhi ,maslahi ya madereva