Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Mtaka:Ruhusuni Maafisa Habari kuhudhuria vikao,mafunzo
Mtaka:Maafisa Habari wa Serikali itangazeni Serikali
Wizara ya Fedha ,Mashirika yasiyo ya kiserikali kuimarisha maendeleo