Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
TISEZA Songea kuvutia uwekezaji, ajira zaidi zapatikana
Serikali yajipanga kukabiliana na athari za El Nino