Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Dkt. afo awapambania Maafisa Maendeleo ya Jamii
Serikali yaweka wazi mpango viwanda vya parachichi Lupembe
CBE kunufaika na maboresho ya miundombinu CBE