Na Mwandishi wetu,Timesmajira Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba,...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online SERIKALI ya Tanzania imethibitisha kuendelea kuweka mazingira bora ya uwekezaji katika huduma za mawasiliano. Lakini...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kanda ya Pemba, Chausiku Kuya, ameahirisha kesi ya madai iliyofunguliwa...
Asema TANESCO imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme Apongeza jitihada zinazoendelea za kuimarisha eneo la huduma kwa...
*Wahimizwa kushiriki kongamano la Tanzania Trade and Logistics Forum 2026 Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online-Dar WATANZANIA hususani vijana wametakiwa kuchangamkia...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajira Online-Tabora MKUU wa Wilaya ya Tabora Upendo Wella amewataka wataalamu,watendaji na madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya...
Na Mwandishi wetu?Timesmajira Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania...
Na Alex Sonna,Timesmajiraonline,Kisarawe MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuanza kutolewa kwa Tuzo ya Jafo ya Ufanisi...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilipata fursa adhimu ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi,...
Na Martha Fatael, TimesmajiraOnline KESHO Disemba 17, 2025 , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam, Dkt....
