Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Amos Lengael Nnko, ameaga Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo ya gari imepelekea kifo cha binti yake, Maureen Nnko, huku mke wake, watoto wawili na mwanafamilia mmoja wakipatiwa matibabu katika hospitali ya KCMC na Mawenzi.


More Stories
Prof.Mbawara:TMA yakamilisha ufungaji wa mitambo miwili ya uangazi wa hali ya hewaÂ
PBPA yapongezwa kwa usimamizi wa upatikanaji wa Mafuta nchini
Ujenzi wa Kituo cha Kupunguza Msukumo wa Mafuta Handeni wafikia asilimia 77