Na Esther Macha, timesmajira, Online,Mbeya HAMIS Pius(41)mkazi wa mtaa wa Nyigamba Kata ya Itezi Jijini Mbeya amefariki dunia baada kujifungia...
Na Stephen Noel – Mpwapwa. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma ,Sophia Kizigo amesema hajaridhishwa na ukusanyaji wa mapato...
Na Penina Malundo, timesmajira RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameunda baraza la kumshauri Rais linalohusu utekelezaji wa masuala ya Kilimo...
Na Mwandishi wetu, timesmajira Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel ameushukuru uongozi wa Shirika la afya la Japan, TOKUSHUKAI...
Na Penina Malundo, timesmajira MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kutembele Tanzania kuanzia Machi 29 hadi 31, 2023,...
Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Dodoma Serikal imewasilisha kwa wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24, ambapo imepanga kukusanya na...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline, Dodoma. WAANDISHI wa Habari nchini wameshauriwa kuiga mfano wa baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Tanzania na Afrika Kusini zimekubaliana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano katika sekta za fedha na...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Mkutano wa Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Oline Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Sh.milioni 10...