June 4, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

OMO akutana na wanachakechake

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT WAZALENDO Othman Masoud Othman akisalimiana na wanachama na wananchi kisiwani Pemba katika mkutano wa Kampeni unaofanyika Viwanja wa Tibirizi Chakechake Pemba.