Sehemu ya waliokuwa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwasilisha hoja zao kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Chande leo 7/07/2021, kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Tunguu, Zanzibar na kuhudhuriwa na Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi Bw. Sheusi Mburi na Mbunge wa Jimbo la Magomeni Bi Mwanahamis Kassim Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Chande (kulia) leo 7/07/2021 amekutana na waliokuwa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais katika kikao kazi cha kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Tunguu, Zanzibar na kuhudhuriwa na Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Bw. Sheusi Mburi na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Muungano (Ofisi ya Zanzibar) Bi. Shumbani Ramadhani Tawfiq Post Views: 336 Continue Reading Previous Mwanakijiji ashinda gari Benki ya NMBNext Wavutiwa na teknolojia ya kutengeneza mkaa banda la STAMICO More Stories 2 min read Habari TANAPA yapiga hodi Kagera kuelimisha Uhifadhi, Utalii May 19, 2024 Hamisi Miraji 2 min read Habari Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi May 19, 2024 Penina Malundo 3 min read Habari NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania May 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
TANAPA yapiga hodi Kagera kuelimisha Uhifadhi, Utalii
Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania