Na Mwandishi wetu,TimesmajiraOnline,Dar
MTAALAMU wa Masuala ya Uchumi na Fedha kutoka Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mosoud Mapande amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mapande amechukua fomu mapema leo Juni 29,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi
Amesema endapo atapitishwa atahakikisha anamsaidia Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi maendeleo.


More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150