Na Mwandishi wetu,TimesmajiraOnline,Dar
MTAALAMU wa Masuala ya Uchumi na Fedha kutoka Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mosoud Mapande amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mapande amechukua fomu mapema leo Juni 29,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi
Amesema endapo atapitishwa atahakikisha anamsaidia Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi maendeleo.


More Stories
RC akemea uvuvi haramu
DC:World Vision chachu ya maendeleo nchini
Usimikaji mitambo hewa tiba wamkosha Kihongosi