Na Mwandishi wetu,TimesmajiraOnline,Dar
MKURUGENZI wa Penuel Fm Radio , Mchungaji Dkt. Alphonce Temba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mchungaji Dkt.Temba amechukua fomu Juni 28,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wilaya ya Ubungo, Masunga Mwenge.




More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150