Na Mwandishi wetu,TimesmajiraOnline,Dar
MKURUGENZI wa Penuel Fm Radio , Mchungaji Dkt. Alphonce Temba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mchungaji Dkt.Temba amechukua fomu Juni 28,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wilaya ya Ubungo, Masunga Mwenge.




More Stories
Watakiwa kuhamasisha vijana kuchapa kazi
Ilemela yavuka lengo ukusanyaji mapato ya ndani
Serikali yahakikisha vyakula vya samaki havileti madhara