April 28, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mkutano Mkuu wa 20 wa mwaka wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Iringa IFCU (1993) Ltd katika picha

Katibu Tawala Msaidizi Uchumi, Ellias Luvanda (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Iringa (IFCU), Victor Mwipopo (kushoto) tuzo ya kutambua utendaji mzuri katika uagizaji wa Mbolea kwa pamoja iliyotolewa na Mamlaka ya Mbolea TFRA , (kulia) Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akishuhudia pamoja na wanaushirika wengine wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa mwaka wa wanachama mkoani Iringa. Mkutano huo ulifanyika Ijumaa Mei 7, 2021 mkoani Iringa.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama Kikuu cha Ushirika IFCU, wakifuatilia taarifa wakati mkutano huo ukiendelea
Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Benson Ndiege akieleza jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama hicho mkoani Iringa