Katibu Tawala Msaidizi Uchumi, Ellias Luvanda (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Iringa (IFCU), Victor Mwipopo (kushoto) tuzo ya kutambua utendaji mzuri katika uagizaji wa Mbolea kwa pamoja iliyotolewa na Mamlaka ya Mbolea TFRA , (kulia) Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akishuhudia pamoja na wanaushirika wengine wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa mwaka wa wanachama mkoani Iringa. Mkutano huo ulifanyika Ijumaa Mei 7, 2021 mkoani Iringa. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama Kikuu cha Ushirika IFCU, wakifuatilia taarifa wakati mkutano huo ukiendelea Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Benson Ndiege akieleza jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama hicho mkoani Iringa Post Views: 705 Continue Reading Previous Shinyanga yapokea milioni 167.4/ kupambana na kichocho, minyooNext NSSF yajipanga ‘kufyeka’ kero za wanachama More Stories 8 min read Mikoani Rais Samia alivyotunukiwa tuzo ya uchumi Uturuki, azidi kutwaa tuzo za kimataifa April 22, 2024 reuben kagaruki 1 min read Habari Mikoani Habari picha: Mbunge wa Malinyi uso kwa uso na Waziri Mkuu Bungeni April 15, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Mikoani Mbunge aiangukia Serikali isaidie wananchi waliokumbwa na mafuriko Kigoma April 8, 2024 joyce kasiki
More Stories
Rais Samia alivyotunukiwa tuzo ya uchumi Uturuki, azidi kutwaa tuzo za kimataifa
Habari picha: Mbunge wa Malinyi uso kwa uso na Waziri Mkuu Bungeni
Mbunge aiangukia Serikali isaidie wananchi waliokumbwa na mafuriko Kigoma