May 13, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Matukio katika picha

Pichani matukio mbalimbali ya picha yakimuonyesha Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prifesa Adolf Mkenda ,wabunhe na viongozi wengine wa wizara hiyo wakiingia Bungeni tayari kabisa kwa shughuli za bunge ambapo leo Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2026/2027 inasomwa.