MAKAMU Mwenyekiti wa ACT – Wazalendo ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Â Othman Masoud Othman, leo amejumuika pamoja na Viongozi, wanachama na wafuasi wa chama hicho, katika mkutano wa hadhara huko Uwanja wa Kwabamgeni Pangawe, Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
Mkutano huo ambao ni muendelezo wa mikutano ya hadhara umeongozwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifam Juma Duni Haji.
Katika Mkutano huo amehudhuria pia Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui.
More Stories
DC.Lulandaka:Miaka 60 ya Muungano na mafanikio lukuki
Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi
Furaha Fm yarudisha tabasamu kwa watoto waliokuwa wakiishi mazingira magumu,yatima.