April 29, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Makamu Mwenyekiti ACT aungana na wanachama wa ACT katika mkutano wa hadhara (PICHA)

MAKAMU Mwenyekiti wa ACT – Wazalendo ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,  Othman Masoud Othman, leo amejumuika pamoja na Viongozi, wanachama na wafuasi wa chama hicho, katika mkutano wa hadhara huko Uwanja wa Kwabamgeni Pangawe, Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

Mkutano huo ambao ni muendelezo wa mikutano ya hadhara  umeongozwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifam Juma Duni Haji.

Katika Mkutano huo amehudhuria pia Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui.