MAKAMU Mwenyekiti wa ACT – Wazalendo ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Â Othman Masoud Othman, leo amejumuika pamoja na Viongozi, wanachama na wafuasi wa chama hicho, katika mkutano wa hadhara huko Uwanja wa Kwabamgeni Pangawe, Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
Mkutano huo ambao ni muendelezo wa mikutano ya hadhara umeongozwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifam Juma Duni Haji.
Katika Mkutano huo amehudhuria pia Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui.















More Stories
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8
Serikali yaongeza nguvu kwa wachimbaji wadogo,yasisitiza usalama Migodini