Wananachi mbalimbali Zanzibar wamejitokea kwa ajili ya kuupokea mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Makamanda wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa Zanzibar.(Picha na Ikulu)
More Stories
FCC yapongezwa kwa kuimarisha vita dhidi ya bidhaa bandia
Serikali yazitaka taasisi kujiandaa kukabiliana na El Nino
Serikali yajipanga kuwa rafiki wa biashara