
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.

More Stories
Nanauka apongeza Kariakoo Kwa kuwezesha vijana Kibiashara
Uzalishaji mbegu bora waongezeka kwa asilimia 55 nchini
Pinda:Vijana JKT tumieni muda vizuri