
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8