
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.

More Stories
Halmashauri Nkasi yapongezwa kwa kupata hati safi
Kutofahamika kwa taasisi za uwezeshaji kiuchumi nchini chanzo Cha umasikini
Sh.400 mil ,kukarabati makazi ya wazee