September 4, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Katibu wa ACT Wazalendo apiga kura kijiji cha Ngalinje

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu akipiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji katika Kijiji cha Ngalinje, Wilaya ya Tunduru.