Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha zoezi la kupiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Serikali ya Mtaa Masaki Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam.
“Serikali za Mitaa,Sauti ya Wananchi,Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”





More Stories
MD Twange atoa onyo kwa wezi wa miundombinu ya umeme
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi