







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.








More Stories
eGA yaimarisha kilimo kupitia Mifumo ya Kidigitali
Mbegu bora msingi wa mapinduzi ya kilimo nchini
Waziri Mkuu Aipongeza TAFICO kwa mafanikio Nanenane