







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.








More Stories
TCAA yaimarisha dawati huduma kwa Wateja
Mwalimu VETA abuni vifaa kusaidia afya na elimu
Ridhiwani:TAKUKURU fanyeni uchunguzi mradi wa maji Kaliua