April 25, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.

Kampeni za mgombea urais CHADEMA, Tundu Lissu leo Mlimareli, Mbalizi

Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.