KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.






More Stories
Wakulima wa Mwani Zanzibar kunufaika huduma za kidijitali
Makundi maalum Lindi waaswa kuchangamkia fursa
Kawaida: Ulinzi wa miundombinu usisubiri vyombo vya dola