KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.






More Stories
Airtel, ZECO zaingia ushirikiano kuimarisha Huduma za Kidigitali
MSD kujenga ghala la kisasa lenye mita za mraba 3,900
Itunda-michezo ni uchumi ataka amani Tulia Cup