NEW YORK, Marekani
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Shawn Corey Carter maarufu kama ‘Jay-Z’ ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana akiwa amevaa saa yenye thamani ya Dolla milioni 3, ambayo kwa pesa ya Tanzania ni Bilioni 7.
Jay-Z, alionekana akiwa na saa hiyo mwishoni mwa wiki katika sherehe ya mfanyabiashara aitwae Michael Rubin.
Katika sherehe hiyo, nyota mastaa mbalimbali maarufu wamehudhulia, akiwemo Beyonce, Travis, na J Balvin Quavo.
More Stories
Twanga Pepeta waikubali ‘Speed’ ya Rais Samia
Ali Kiba aitaka jamii kuwasaidia watoto wenye uhitaji maalumu
Azam TV yazindua filamu mpya