Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa

More Stories
Mbunge ahoji ukamilishwaji miundombinu Vituo vya afya
Mbogo aomba Tume kuchunguza madai ya waliokuwa wafanyakazi wa EAC
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji