Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa

More Stories
‎Ungele:Mageuzi ya Wizara ya Afya ni ya kihistoria
Serikali Yatoa Majibu Kuhusu Upatikanaji wa Umeme Vitongoji vya Jimbo la Mwibara
Serikali yawahakikishia upatikanaji Umeme Wakazi wa Kitongoji cha Orera – Moshi Vijijini