Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa

More Stories
RUWASA yaagizwa kufanya utafiti kutoa maji Kinyamwenda kwenda Gairu
RMO,DMO waagizwa kumsimamia Mkurugenzi ununuzi vifaa ,vifaa tiba
Mbunge ahoji ukarabati wa shule kongwe