Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.


More Stories
Utu wa Taifa hupimwa kwa namna linavyowajali wazee wake: Mahundi
Sh.1 bil ,kukarabati makazi ya wazee
PPRA yashinda Tuzo, yaahidi kuendelea kuhudumia wananchi