May 20, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Jackson Kiswaga kupambana na Mgimwa

Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Kalenga 

Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa