Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa


More Stories
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
TISEZA Songea kuvutia uwekezaji, ajira zaidi zapatikana