Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa


More Stories
Dkt. afo awapambania Maafisa Maendeleo ya Jamii
Serikali yaweka wazi mpango viwanda vya parachichi Lupembe
CBE kunufaika na maboresho ya miundombinu CBE