June 4, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Dkt. Tulia ametangaza kujiondoa kugombea kiti cha Uspika wa Bunge

Aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi hiyo, leo tarehe 7 Novemba 2025.