Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Phillip Mpango akisalimiana na Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb)wakati wa Ziara ya Makamu wa Rais kufungua Maabara ya Afya ya Jamii Hospitali ya Kibong’oto Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro.
Katika salamu zake kwa wananchi wa Siha, Mhandisi Mahundi amesema hali ya upatikaji wa maji wilayani Siha ni zaidi ya asilimia 90.
Mipango ya Serikali ni kuhakikisha inakamilisha miradi na kuanzisha mipya ili huduma hiyo ifikie asilimia 100.
More Stories
Tulia amfuta machozi Bibi mlezi Watoto wenye afya ya akili
Ushirikiano NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti
EAC yahimiza ushirikiano wa Kikanda katika elimu