Na Mwandishi Wetu ,Timemajira,Online,Kilimanjaro
Katika salamu zake kwa wananchi wa Siha, Mhandisi Mahundi amesema hali ya upatikaji wa maji wilayani Siha ni zaidi ya asilimia 90.
Mipango ya Serikali ni kuhakikisha inakamilisha miradi na kuanzisha mipya ili huduma hiyo ifikie asilimia 100.
Post Views: 618
More Stories
Watendaji viongozi wa vijiji waonywa kutoa vitambulisho vya nida kwa wageni,Ileje
Barabara ya kibada-mwasonga -Kimbiji kujengwa kwa kiwango cha lami
Wadau waombwa kujitokeza kusaidia waathirika wa mafuriko