Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MSANII wa muziki wa Bongo fleva na Bosi wa Wasafi Media
Diamondplatnumz, ametangaza kufanya Kolabo na msanii
kutoka nchini India Diljitdosanjh.
Akithibitisha Kolabo hiyo kupitia kwenye Ukurasa wake
wa Instagram, baada ya Kupost baadhi ya picha akiwa
Studio na Msanii huyo.
Diamond amesema, tuamini muda si mrefu atatoa ngoma
mpya aliyomshirikisha Diljitdosanjh na kuwataka
mashabiki wake kukaa mkao wa kula.
More Stories
Azam TV yazindua filamu mpya
GETHSEMANE GROUP KINONDONI, DAR WAZIDUA VIDEO YA BWANA WASTAHILI
Samia Queens wazindua wimbo mpya