Muuza machungwa akiandaa bidhaa hiyo kwaajili ya wateja wake huku akiwa amevaa barakoa (mask) katika Mtaa wa Jamhuri, jijini leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)
Muuza mayai ya kuchemsha akisubiri wateja pembeni ya kituo cha daladala, Posta Mpya, jijini mapema leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Wauuza vitafunwa wakisubiri wateja, Posta Mpya, jijini mapema leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Muuza Barakoa (mask) akiwa katika harakati za kutafuta wateja wa bidhaa hiyo leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Baadhi ya wakazi wa jiji wakiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Mkazi wa jijini akiwa amevaa barakoa (mask) akiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Mkazi wa jijini akiwa amevaa barakoa (mask) akiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Gardaworld akiwa amebeba kiti cha ofisini akipeleka katika moja ya maofisi jijini, mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)Mkazi wa jijini akiwa ndani ya daladala linalofanya safari za Mbagala kutokea eneo la Feri kama alivyonaswa na kamera yetu leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni)
More Stories
ACT Wazalendo yapinga zuio la mikutano ya hadhara
Wananchi waendelea kunufaika na Ofa za TTCL Sabasaba
Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026