Muuza mayai ya kuchemsha akisubiri wateja pembeni ya kituo cha daladala, Posta Mpya, jijini mapema leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Wauuza vitafunwa wakisubiri wateja, Posta Mpya, jijini mapema leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Muuza Barakoa (mask) akiwa katika harakati za kutafuta wateja wa bidhaa hiyo leo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Baadhi ya wakazi wa jiji wakiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Mkazi wa jijini akiwa amevaa barakoa (mask) akiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Mkazi wa jijini akiwa amevaa barakoa (mask) akiwa katika harakati mbalimbali mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Gardaworld akiwa amebeba kiti cha ofisini akipeleka katika moja ya maofisi jijini, mapema leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Mkazi wa jijini akiwa ndani ya daladala linalofanya safari za Mbagala kutokea eneo la Feri kama alivyonaswa na kamera yetu leoleo 20/04/2020 (Picha na Imma Mbuguni) Post Views: 2,038 Continue Reading Previous Bunge laomboleza msiba wa Mchungaji RwakatareNext Rostam aibukia Zanzibar, atoa milioni 500 vita ya COVID-19 More Stories 1 min read Habari Msamaha wa Rais Dkt.Samia kwa wafungwa miaka 60 ya muungano April 26, 2024 zena chitwanga 1 min read Habari Matukio ya picha katika sherehe za miaka 60 ya Muungano April 26, 2024 joyce kasiki 3 min read Habari Tanzania yaieleza UN hakuna wananchi waliohamishwa kwa nguvu Ngorongoro na Loliondo April 26, 2024 zena chitwanga
More Stories
Msamaha wa Rais Dkt.Samia kwa wafungwa miaka 60 ya muungano
Matukio ya picha katika sherehe za miaka 60 ya Muungano
Tanzania yaieleza UN hakuna wananchi waliohamishwa kwa nguvu Ngorongoro na Loliondo