Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 1,334 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari ACT Wazalendo yapinga zuio la mikutano ya hadhara July 12, 2026 Penina Malundo Habari Wananchi waendelea kunufaika na Ofa za TTCL Sabasaba July 12, 2026 Penina Malundo Habari Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026 July 12, 2026 Penina Malundo
More Stories
ACT Wazalendo yapinga zuio la mikutano ya hadhara
Wananchi waendelea kunufaika na Ofa za TTCL Sabasaba
Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026