Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 1,391 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari Hospital ya Wilaya Mbarali yapokea vifaa tiba September 14, 2026 Penina Malundo Habari Mpogolo aagiza mitaro Kariakoo kuzibuliwa September 13, 2026 Judith Ferdnand Habari TCRA, Polisi na mkakati kudhibiti uhalifu mtandaoni Rukwa September 12, 2026 Israel Mwaisaka
More Stories
Hospital ya Wilaya Mbarali yapokea vifaa tiba
Mpogolo aagiza mitaro Kariakoo kuzibuliwa
TCRA, Polisi na mkakati kudhibiti uhalifu mtandaoni Rukwa