Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 1,313 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari NIRC yatumia wiki ya utumishi kuelimisha June 22, 2026 zena chitwanga Habari Mikoani VETA yapongezwa kutoa mafunzo kwa wenye mahitaji maalum June 22, 2026 joyce kasiki Habari Waomba kujengewa kituo cha polisi June 22, 2026 Judith Ferdnand
More Stories
NIRC yatumia wiki ya utumishi kuelimisha
VETA yapongezwa kutoa mafunzo kwa wenye mahitaji maalum
Waomba kujengewa kituo cha polisi