Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Kamilius Membe, amefariki Dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.

Taarifa za awali zinasema alipata changamoto ya kifua na kupelekwa alfajiri ya leo Hospitalini hapo na baadaye kufariki.

More Stories
WATU WASIOJULIKANA
Tambua Haki Zako Mtandaoni
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni