May 2, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Breaking News: Membe afariki Dunia

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Kamilius Membe, amefariki Dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.

Meeting between Hon Stephen Smith and Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe at casey Building Canberra 25 May 2009.


Taarifa za awali zinasema alipata changamoto ya kifua na kupelekwa alfajiri ya leo Hospitalini hapo na baadaye kufariki.