Na Joyce Kasiki, TimesMajira Online, Dodoma
MBUNGE wa Konde Khatib Said Haji (ACT-Wazalendo) amefariki alfajiri ya leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Akitoa taarifa leo Bungeni jijini Dodoma,Naibu Spika Dkt.Tulia Ackson amesema mwili wa mbunge huyo utazikwa leo saa kumi jioni visiwani Zanzibar.
Kufutia kifo cha Mbunge huyo Bunge limeahirishwa hadi kesho saa tatu asubuhi.
More Stories
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
Majaliwa Azindua Ujenzi wa Makao ya TBS, Ataka Miundombinu Kukamilika Haraka.
Mkuu wa JKT awatoa hofu wazazi asema,JKT ni mahali salama