Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ilemela,mkoani Mwanza,Herbert Bilia,amesema hadi jana Agosti 18,2025,ujumla ya vyama 9 vya siasa vimeshachukua fomu za uteuzi kwa ajili ya kugombea ubunge wa jimbo hilo.
Bilia,amebainisha hayo Agosti 18,2025,wakati wa utoaji wa fomu za uteuzi kwa mgombea ubunge.
Ambapo amevitaja vyama hivyo kuwa ni Chama Makini , UMD, CCK, AAFP,DP,NLD,Sauti ya Umma, N.R.A na ACT Wazalendo.
Kwa mujibu wa kalenda ya matukio kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2025 zoezi hilo litahitimiswa Agosti 27,2025 .

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako