Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
TIMU ya Mtibwa Sugar imekamilisha usajili wa beki wa kulia Hassan Ramadhan Kessy akitokea Nkana Red Devils ya Zambia.
Huo ni usajili wa tano wa ndani ya Mtibwa msimu ambao wanaboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu 2020/2021 baada ya msimu uliomalizi kutokuwa mzuri kwao.
Mtibwa ilifanikiwa kujinusuru kushuka daraja baada ya kushinda mchezo wao wa mwisho dhidi ya Ruvu Shooting na kumaliza msimu wakiwa nafasi ya 14.

More Stories
Pre-Betika Tulia Marathon kuhamasisha mazoezi kwa jamii
“Michezo ni afya,ajira” -DC.Ngubiagai
Watanzania wang’ara Yas Kill Intenational half Marathon 2026