Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha zoezi la kupiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Serikali ya Mtaa Masaki Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam.
“Serikali za Mitaa,Sauti ya Wananchi,Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”





More Stories
Diwani aunga juhudi ujenzi wa barabara
Uwekezaji mkubwa katika elimu wamkosha mkuu wa shule ya sekondari Mkole
Jaji Mshibe asisitiza maandalizi ya Kisekta katika kukabiliana na athari za El Nino