KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.





More Stories
Dkt.Biteko:Wananchi someni taarifa za nishati kutoka EWURA
Masauni afanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya NEMCÂ
Waumini Kanisa la KKAM waipeleka Mahakamani bodi ya wadhamini KKKT