KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.






More Stories
Nanauka ametaka TADB kushirikiana kuwasaidia vijana
TAHA yabuni teknolojia mpya za bustani za nyumbani
Watakiwa kuacha uchimbaji holela wa Visima