Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi uliowasilishwa na Mjumbe maalum ambae pia ni Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki, Vijana, Michezo na Utamaduni Balozi Ezechiel Nibigira, mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 14 Januari, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini Abdalla Ali M. Alsheryan, mara baada ya kuwasilisha Hati yake ya Utambulisho leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Kim Sun Pyo leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Indonesia hapa nchini Triyogo Jatmiko leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiagana na Balozi wa Indonesia hapa nchini Triyogo Jatmiko mara baada ya mazungumzo leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Morocco hapa nchini Zakaria El Goumiri leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Morocco hapa nchini Zakaria El Goumiri, mara baada ya kuwasilisha Hati ya Utambulisho leo tarehe 14 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Post Views: 876 Continue Reading Previous CWT yawataka walimu kupuuza taarifa za uongo zinazosambaa mitandaoaniNext Manispaa ya Moshi yaongeza ukusanyaji mapato kufikia Bil 8.5 More Stories 2 min read Habari Miaka 20 jela kwa kuhujumu TANESCO May 4, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Mfumo wa e-Board umeboresha uendeshaji vikao Ilemela May 4, 2024 Judith Ferdnand 4 min read Habari SOS Children’s Villages yawezesha ujenzi ofisi Dawati la Jinsia Nyamagana May 4, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
Miaka 20 jela kwa kuhujumu TANESCO
Mfumo wa e-Board umeboresha uendeshaji vikao Ilemela
SOS Children’s Villages yawezesha ujenzi ofisi Dawati la Jinsia Nyamagana