Wachezaji wa Mpira wa Kikapu wa Benki ya NMB na wajumbe wa Baraza la wawakilishi wakiwania mpira wakati wa mchezo uliochezwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Mjumbe wa Baraza la wawakilishi, Ali Suleima Urembo akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya Baraza la wawakillishi baada ya kuibuka washindi dhidi ya timu ya Benki ya NMB wakati wa mchezo uliofanyika kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 58 ya mapinduzi ya Zanzibar. Kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha, Juma Kimori na kushoto ni Meneja wa NMB Zanzibar, Naima Post Views: 526 Continue Reading Previous Jenista aahidi kuimarisha utumishi wa umma kwa manufaa ya TaifaNext Tigo watoa zawadi ya milioni kumi kwa washindi promosheni ya lipa kwa simu uWini More Stories 3 min read Habari Bil. 10/- za Samia zasomesha Madaktari Bingwa na Wabobezi wa saratani May 4, 2024 reuben kagaruki 1 min read Habari Waziri Makamba aongoza kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje May 4, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Waziri Makamba awataka Nordic kuwekeza kwa vijana wa Afrika May 4, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Bil. 10/- za Samia zasomesha Madaktari Bingwa na Wabobezi wa saratani
Waziri Makamba aongoza kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje
Waziri Makamba awataka Nordic kuwekeza kwa vijana wa Afrika