
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.

More Stories
Shule 13 Temeke kuanza kupika kwa umeme
Serikali inatambua uwepo wa Watumishi wachapa kazi na uweledi
DED Mweli:Tumeweka kipaumbele kusikiliza kero za wananchi