Katibu Tawala Msaidizi Uchumi, Ellias Luvanda (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Iringa (IFCU), Victor Mwipopo (kushoto) tuzo ya kutambua utendaji mzuri katika uagizaji wa Mbolea kwa pamoja iliyotolewa na Mamlaka ya Mbolea TFRA , (kulia) Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akishuhudia pamoja na wanaushirika wengine wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa mwaka wa wanachama mkoani Iringa. Mkutano huo ulifanyika Ijumaa Mei 7, 2021 mkoani Iringa. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama Kikuu cha Ushirika IFCU, wakifuatilia taarifa wakati mkutano huo ukiendelea Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Benson Ndiege akieleza jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa 20 wa Chama hicho mkoani Iringa Post Views: 708 Continue Reading Previous Shinyanga yapokea milioni 167.4/ kupambana na kichocho, minyooNext NSSF yajipanga ‘kufyeka’ kero za wanachama More Stories 1 min read Habari Mikoani Dkt.Yonanzi akutana na uongozi wa TECDEN May 9, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Mikoani Aweso aifagilia EWURA May 9, 2024 joyce kasiki 2 min read Mikoani Rais Samia arejesha mawasiliano yaliyoharibiwa na mvua Katavi May 9, 2024 reuben kagaruki
More Stories
Dkt.Yonanzi akutana na uongozi wa TECDEN
Aweso aifagilia EWURA
Rais Samia arejesha mawasiliano yaliyoharibiwa na mvua Katavi