Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Djibouti Ismaïl Omar Guelleh wa nchi hiyo.
Waziri Kombo amewasilisha ujumbe huo wakati wa sherehe za uapisho wa Rais Guelleh zilizofanyika Mei 09, 2026 jijini Djibouti.


More Stories
Waongezewa nguvu huduma za mama wajawazito Same
Wasusi watakiwa kutumia programu ya “Darling Hair” kujiimarisha
Madiwani Nkasi wataka mianya ya upotevu wa mapato izibwe