Spika wa Bunge, Job Ndugai, (wapili kutoka kushoto) akiwa na ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) nyumbani kwake mjini Dodoma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi wa TADB, Ishmael Kasekwa, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Frank Nyabundege, na Mkurugenzi wa Fedha wa TADB, Derick Lugemala. Ndugai alimpongeza, Nyabundege kwa kuteuliwa hivi karibuni kushika nafasi hiyo na kuahidi ushirikiano wa Bunge kwa benki hiyo katika kuendeleza sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi nchini. Na mpiga picha wetu. Post Views: 3,292 Continue Reading Previous Klabu za waandishi zatakiwa kupigania haki za waandishiNext Miili ya wafanyakazi watano TRA yaagwa, vilio vyatawala More Stories 2 min read Habari Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24 May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kitaifa DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT May 3, 2024 joyce kasiki
More Stories
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT