Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online


Aidha Mhe. Makamba aliwaelimisha wanakikundi hao madhara ya kiafya na kimazingira ya muda mrefu ya kutumia kuni na mkaa. Kwa Mkoa wa Mara, watu kati ya 400- 600 kwa mwaka huugua kutokana na athari za Moshi wa kuni na mkaa. Mhe Makamba amewaahidi wana kikundi hao kufunga mfumo wa gesi ya kupikia ili wafanye shughuli hizo kwa kutumia nishati safi.

More Stories
Chongolo, azindua kampeni ya “Linda Ushirika, Chagua Uadilifu”
Serikali imewataka wafanyakazi kuwa Makini wawapo makazini
Serikali yaimarisha Nishati Safi na Umeme Vijijini, Wananchi wanufaika zaidi