Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online


Aidha Mhe. Makamba aliwaelimisha wanakikundi hao madhara ya kiafya na kimazingira ya muda mrefu ya kutumia kuni na mkaa. Kwa Mkoa wa Mara, watu kati ya 400- 600 kwa mwaka huugua kutokana na athari za Moshi wa kuni na mkaa. Mhe Makamba amewaahidi wana kikundi hao kufunga mfumo wa gesi ya kupikia ili wafanye shughuli hizo kwa kutumia nishati safi.

More Stories
Exim yaadhimisha miaka 29 yangu kuanzisha kwake
ONE GIRL PLUS yazinduliwa kuwafikia Watoto wa KikeÂ
Serikali yaridhishwa maandalizi NHIF kuelekea AFCON