Na mwandishi wetu, TimesMajira Online Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb)akutana na Balozi wa China nchini Tanzania , Mhe. Chen Mingjian Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimuonyesha na kumpa maelezo Balozi wa China nchini Tanzania , Mhe. Chen Mingjian kuhusu sahani za zamani za kutoka china zilizohifadhiwa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam. Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian akiuliza swali kutokana na maelezo aliyapata ya uhifadhi wa mikisanyo na hitoria Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Jijini Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kitabu cha historia ya mikusanyo yenye asili ya China ilioyopatikana Tanzania na inayohifadhiwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni alipotembelea Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian katikati, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es Salaam. Post Views: 275 Continue Reading Previous Tuzo za ubora kitaifa zazinduliwa rasmiNext TANROADS yakamilisha miradi 14 yenye gharama ya shilingi Trilioni 1.37 kwa kipindi cha Serikali awamu ya sita More Stories 1 min read Habari Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Tigo wazindua ‘Supper App’ May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo – Dkt. Biteko May 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu
Tigo wazindua ‘Supper App’
Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo – Dkt. Biteko