Na mwandishi wetu, TimesMajira Online




Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kitabu cha historia ya mikusanyo yenye asili ya China ilioyopatikana Tanzania na inayohifadhiwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni alipotembelea Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam.

More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka