Na mwandishi wetu, TimesMajira Online




Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kitabu cha historia ya mikusanyo yenye asili ya China ilioyopatikana Tanzania na inayohifadhiwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni alipotembelea Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam.


More Stories
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Wananchi Dodoma washauri TBA kujenga nyumba za kupangisha watu binafsi