Na mwandishi wetu, TimesMajira Online




Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kitabu cha historia ya mikusanyo yenye asili ya China ilioyopatikana Tanzania na inayohifadhiwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni alipotembelea Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam.

More Stories
Mke wa Rais wa Msumbiji,Gueta atembelea JKCI
Kadinali Robert Prevost achaguliwa kuwa Papa Leo wa XIV
Viongozi wa Dini waaswa kuimarisha mafundisho kwa wanandoa kunusuru kuvunjika kwa ndoa