Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wasia Mushi  akifungua warsha ya mafunzo ya kibiashara kwa wateja  wa biashara za kati (SME) wa benki hiyo iliyofanyika jijini Dar es SalaamMmoja kati ya washiriki wa warsha akipokea vyeti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo,Bw.Wasia Mushi Washiriki wa warsha katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa benki hiyo ,Bw. Wasia Mushi (katikati)
More Stories
Ilemela yatoa mikopo kwa vikundi 41
Benki ya Absa nchini yalenga kuwezesha wasichana 5,000 kupata ujuzi wa AI kupitia mpango wa ElevateHer
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi