Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wasia Mushi  akifungua warsha ya mafunzo ya kibiashara kwa wateja  wa biashara za kati (SME) wa benki hiyo iliyofanyika jijini Dar es SalaamMmoja kati ya washiriki wa warsha akipokea vyeti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo,Bw.Wasia Mushi Washiriki wa warsha katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa benki hiyo ,Bw. Wasia Mushi (katikati)
More Stories
EWURA yahamasisha uwekezaji vituo vya mafuta vijijini
NMB yawekeza Bil. 224 katika ufadhili wa mgodi wa dhahabu wa Geita
Serikali yaendelee kuwawezesha mitaji vijana