Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga.
More Stories
Dkt. Biteko: Serikali kujenga mtandao mkubwa mabomba ya gesi
EWURA yaendelea kuweka mazingira rafiki ya biashara ya gesi
BUWSSA yapokea bil.28.1 ya miradi,serikali awamu ya sita