Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jacqueline Ngonyani (Msongozi) akiwagawia cherehani wanawake wa UWT Wilaya ya Namtumbo kwenye hafla ya kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge. Katika hafla hiyo alikabidi vyerehani zaidi 100 na kuwataka wazitumia kwa malengo aliyokusudia ya kuwakwamua kiuchumi badala ya kuwa tegemezi. Picha na Cresensia Kapinga.
More Stories
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Rais Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini
Rc Chalamila aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Charles Hilary